Sunday, March 30, 2014

  Kwamujibu wa TeamUkwelinaUwazi instagram....
Nanukuu.... 


Umbea wa mjini ambao unajulikana Dar nzima na kwa watu wa karibu wa dangote na madame ila kuna watu ambao hawaujui Pia nimeona niwajuze na nyie ambao hamjaupata .. Huyu ndio demu anaetoka na dangote tena alikua ni demu wa mtu wa karibu yake kama mnamjua Prezi Tito.. Huyo prez Tito na alikua best. Sana na petitman ila kwa sasa naona urafiki umeyumba sababu Ya hii ishu .. Demu anaitwa latifa almaarufu kama Latifah Tito .. Sasa dangote hapo ndio anapomalizia stress Za jiji na madame anajua hilo yaani sio Siri demu yupo na sangote kwenye starehe zote mara kwa mara utawaona skylite pamoja na group la akina sheta.. Amefikia hatua hadi kapangiwa na dangote kinondoni kwa manyanya pale wanapouza baiskel.. Prezitito hana sauti maana na yeye ni Mario kama alivyo petitman si unajua tena hawa Mario hua hawanaga kitu basi hata sauti hawana wanaishiaga kulalamika chini kwa chini .. Basi sasa hiyo ndio ishu inayoendelea mjin hata madame analijua hilo ila ndio atafanya nini maana Latifah mbabe balaa hahaha chezaea Halima kimwana wewe harafu mnamtukana Halima nyooo hamjui kama ndio tulizo la dangote kwani dangote si anajua kabisa kua Halima na wema haziendani harafu si wema ndio ubavu wa dangote plus kwani dangote na Halima wameshare tumbo moja lakini hamjiulizi kwanini bado dangote hatengenezi njia hawa watu wakaelewana ndio kwanza yupo na Halima wake kipenzi .. Mwenyewe anakwambia salamu zangu Za pili ziende kwa dada yangu Halima mwambieni nampenda sana.. Halima ana nguvu kuliko madameeeee... Sisi bado tunangojea movie .... Oopszion haha madame eti anasema Latifah mbaya hamuingiii haya basi amuuluze dangote kamfatia nini huyo latifah ???? Harafu walikuaga wanaelewana sana dah huyu dangote anapenda vya karibu kama Clement vile..........Ufafanuzi:Dangote- Diamond, Madame-Wemasepatu
Teamukwelina uwazi mara nyingi huwahawakosei
credit : swahilitz

0 comments:

Post a Comment